Soma Biblia Kila Siku 1Mfano

Tumezoea kusema Yesu anaweza yote. Lakini leo Yesu anatuambia jambo ambalo hawezi. Unajua ni nini hilo? Rudia kusoma m.19! Yesu hakupunguza wala kuongeza wala kubadilisha lolote aliloliona kwa Baba yake anayempenda. Kwa hiyo amemfunua Mungu kikamilifu kwetu. Tafakari zaidi m.24-25. Tusipomwamini Yesu tu wafu kwa Mungu. Lakini sauti ya Yesu inatuhuisha tukiyapokea maneno yake kwa imani. Tunapewa uhusiano mema na Mungu. Ndio uzima usiokoma. Hata kifo cha kimwili hakiwezi kuukomesha.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 1 inakupa mpango wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu, hasa kutoka Injili ya Yohana, pamoja na maelezo juu ya somo hilo.
More
Tungependa kushukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 06/2020

Soma Biblia Kila Siku 8

Upendo Wa Bure

Roho Mtakatifu - Tuna Uwezo Wa Kuwaka Moto Au La?

Injili Ulimwenguni - Sehemu 1

Soma Biblia Kila Siku 4

Uamuzi Mkubwa Zaidi wa Maisha Yako!

MWANGA Kuvutiwa Maishani Na Mwanga Ajabu Wa Mungu

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021
