Soma Biblia Kila Siku 1Mfano

Bwana Yesu alifanya ishara nyingi. Kwa ishara alizozifanya alidhihirisha kwamba Ufalme wa Mungu umefika, upo na unatenda kazi. Ni ishara hizo zilizowafanya Wayahudi waliokuwa hawamwamini Yesu kupata mashaka kama kweli huyo kristo mwingine waliyemngojea ataweza kufanya ishara zaidi ya hizi alizozifanya Yesu (m.31). Je, wewe unamfuata Yesu kwa kuangalia nini? Ishara tu? Kumbuka, hata bila ishara Bwana Yesu anaweza kutufanya wana wa Mungu na warithi wa uzima wa milele tukimwamini yeye.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 1 inakupa mpango wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu, hasa kutoka Injili ya Yohana, pamoja na maelezo juu ya somo hilo.
More
Tungependa kushukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 06/2020

Soma Biblia Kila Siku 8

Upendo Wa Bure

Roho Mtakatifu - Tuna Uwezo Wa Kuwaka Moto Au La?

Injili Ulimwenguni - Sehemu 1

Soma Biblia Kila Siku 4

Uamuzi Mkubwa Zaidi wa Maisha Yako!

MWANGA Kuvutiwa Maishani Na Mwanga Ajabu Wa Mungu

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021
