Soma Biblia Kila Siku 1Mfano

Bwana Yesu alisema na kutenda yale yanayoleta sifa na utukufu kwa Mungu, wala ndani yake hakuwa na udhalimu (m.16-18). Hakutafuta sifa na utukufu wake binafsi. Aliposifiwa na Wayahudi kwa mafundisho mazuri, hakuvimba kichwa kwa sifa hizo bali aliwaelekeza waliomsifu kwa Mungu na kufichua uovu wao wa kutaka kumwua kwa sababu ya kumponya mtu siku ya sabato. Soma pia Flp 2:5-7! Hakika, nia hii ya Kristo iwemo ndani yetu. Maneno na matendo yetu yajae kumtukuza Mungu.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 1 inakupa mpango wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu, hasa kutoka Injili ya Yohana, pamoja na maelezo juu ya somo hilo.
More
Tungependa kushukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 06/2020

Soma Biblia Kila Siku 8

Upendo Wa Bure

Roho Mtakatifu - Tuna Uwezo Wa Kuwaka Moto Au La?

Injili Ulimwenguni - Sehemu 1

Soma Biblia Kila Siku 4

Uamuzi Mkubwa Zaidi wa Maisha Yako!

MWANGA Kuvutiwa Maishani Na Mwanga Ajabu Wa Mungu

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021
