Soma Biblia Kila Siku 1Mfano

Kutunga zaburi kama hii si kitu chepesi chepesi tu. Ni ushahidi wa mtu aliyepitia majaribu na mapambano mengi katika maisha yake (m.3-4; 9-10). Alipata msaada kwa njia ya kuyaondoa macho yake yasitazame matatizo bali yaelekee kwa Mungu! Nafsi yangu yamngoja Mungu peke yake kwa kimya, wokovu wangu hutoka kwake. Yeye tu ndiye mwamba wangu na wokovu wangu, ngome yangu, sitatikisika sana(m.1-2; 5-6). Ili kulikaza neno hili amelirudia mara mbili! Hatua ya kwanza ni hii: Tumfungulie Bwana yaliyomo mioyoni mwetu (m.8)!
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 1 inakupa mpango wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu, hasa kutoka Injili ya Yohana, pamoja na maelezo juu ya somo hilo.
More
Tungependa kushukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 06/2020

Soma Biblia Kila Siku 8

Upendo Wa Bure

Roho Mtakatifu - Tuna Uwezo Wa Kuwaka Moto Au La?

Injili Ulimwenguni - Sehemu 1

Soma Biblia Kila Siku 4

Uamuzi Mkubwa Zaidi wa Maisha Yako!

MWANGA Kuvutiwa Maishani Na Mwanga Ajabu Wa Mungu

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021
