Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 27:45-46

Mathayo 27:45-46 BHN

Tangu saa sita mchana mpaka saa tisa, giza likaikumba nchi yote. Mnamo saa tisa Yesu akalia kwa sauti kubwa, “Eli, Eli, lema sabakthani?” Maana yake, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 27:45-46