Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 27:45-46

Mathayo 27:45-46 SRUV

Basi tangu saa sita palikuwa na giza juu ya nchi yote hadi saa tisa. Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?

Soma Mathayo 27

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 27:45-46