Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 72:12-14

Zaburi 72:12-14 SRUV

Kwa maana atamkomboa mhitaji aliapo, Na mtu aliyeonewa iwapo hana msaidizi. Atawahurumia wanyonge na maskini, Na nafsi za wahitaji ataziokoa. Atawakomboa kutoka kwa maonevu na udhalimu, Maana damu yao ina thamani machoni pake.

Soma Zaburi 72

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 72:12-14