Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 72:12-14

Zaburi 72:12-14 NEN

Kwa maana atamwokoa mhitaji anayemlilia, aliyeonewa asiye na wa kumsaidia. Atawahurumia wanyonge na wahitaji na kuwaokoa wahitaji kutoka mauti. Atawaokoa kutoka uonevu na ukatili, kwani damu yao ni ya thamani machoni pake.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 72:12-14