Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 18:21-22

Mathayo 18:21-22 SRUV

Kisha Petro akamwendea akamwambia, Bwana, ndugu yangu anikosee mara ngapi nami nimsamehe? Hata mara saba? Yesu akamwambia, Sikuambii hata mara saba, bali hata saba mara sabini.

Soma Mathayo 18

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 18:21-22

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha