Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yoeli 2:12-13

Yoeli 2:12-13 NEN

“Hata sasa,” asema BWANA, “nirudieni kwa mioyo yenu yote, kwa kufunga, kwa kulia na kuomboleza.” Rarueni mioyo yenu na siyo mavazi yenu. Mrudieni BWANA, Mungu wenu, kwa maana yeye ndiye mwenye neema na mwingi wa huruma, si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa upendo, huona huruma, hujizuia kuleta maafa.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yoeli 2:12-13