1
Luka MT. 18:1
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
AKAWAAMBIA na mfano ya kama imewapasa kumwomba Mungu siku zote wala wasikate tamaa
Thelekisa
Phonononga Luka MT. 18:1
2
Luka MT. 18:7-8
Bassi Mungu je! hatawapatia haki wateule wake wanaomlilia mchana na usiku, nae ni mvumilivu kwao? Nawaambieni atawapatia haki upesi. Walakini Mwana wa Adamu atakapokuja, je! ataiona imani duniani?
Phonononga Luka MT. 18:7-8
3
Luka MT. 18:27
Akasema, Yasiyowezekana kwa wana Adamu, yawezekana kwa Mungu.
Phonononga Luka MT. 18:27
4
Luka MT. 18:4-5
Nae hakukubali muda wa siku kadha wa kadha; khalafu akasema moyoni mwake, Ijapokuwa mimi simchi Mungu wala sijali mtu; illakini kwa kuwa mjane huyu ameniudhi, nitampatia haki yake, asije akanidhoofisha kwa kunijia daima.
Phonononga Luka MT. 18:4-5
5
Luka MT. 18:17
Amin, nawaambieni, Yeye yote asiyeukubali ufalme wa Mungu kama mtoto, hatauingia kamwe.
Phonononga Luka MT. 18:17
6
Luka MT. 18:16
Bali Yesu akawaita waje kwake, akisema, Waacheni watoto waje kwangu, kwa maana watu kama hawo ufalme wa Mungu ni wao.
Phonononga Luka MT. 18:16
7
Luka MT. 18:42
Yesu akamwambia, Upewe kuona imani yako imekuponya.
Phonononga Luka MT. 18:42
8
Luka MT. 18:19
Yesu akamwambia, Mbona waniita mwema? Hakuna mwema illa mmoja ndiye Mungu.
Phonononga Luka MT. 18:19
Home
Bible
Plans
Videos