Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku 03/2025Mfano

Soma Biblia Kila Siku 03/2025

SIKU 4 YA 31

Mara akawalazimisha wanafunzi wake(m.45).Jana tuliona kuwa Yesu alitaka wapumzike baada ya kufanya kazi nyingi, lakini haikuwezekana kutokana na mkutano mkubwa uliowafuata. Hata hivyo baada ya kumaliza kusaidia mkutano huo, Yesu alizidi kusisitiza ni lazima wapumzike ili wapate nguvu mpya kimwili na kiroho.Akaenda zake mlimani kuomba(m.46).Ndugu msomaji uliye mtumishi wa Bwana, tafadhali uzingatie sana fundisho hili la Yesu usije ukadhoofika kimwili na kiroho na kumpa Shetani nafasi!

siku 3siku 5

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 03/2025

Soma Biblia Kila Siku 03/2025 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi Machi pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Marko, 1 Nyakati na Isaya. Karibu kujiunga na mpango huu

More

Tungependa kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: www.somabiblia.or.tz