Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku / Oktoba 2023Mfano

Soma Biblia Kila Siku / Oktoba 2023

SIKU 26 YA 31

Agizo la Mungu ni agizo litakiwalo kutekelezwa, halipaswi kupingwa. Mungu alirudia agizo lake kwa Yona ili aende na kuhubiri Ninawi. Wakati huu tunaona Yona alitii. Ujumbe aliotangaza ni mfupi na wazi: Mji wa Ninawi utapinduliwa kwa sababu ya uovu wake. Watu wa Ninawi pamoja na mfalme wao walichomwa mioyo, wakamwamini Mungu na kutubia uovu wao. Ujumbe wa Mungu unapotugusa tuchukue hatua ya kumwamini, kutubu na kumrudia kwa mioyo yetu yote.Enyi wana wa Israeli, mrudieni Bwana(2 Nya 30:6b).

Andiko

siku 25siku 27

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku / Oktoba 2023

Soma Biblia Kila Siku /Oktoba 2023 ni mpango mzuri wa kusoma biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Oktoba pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Yohana na Zaburi. Karibu kujiunga na mpango huu

More

Tungependa kuwashukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz/