Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku Juni/2022Mfano

Soma Biblia Kila Siku Juni/2022

SIKU 14 YA 30

Wakristo wasikose kujua kwamba wawapo duniani majaribu kati yao hayakosi kuwapo. Lakini kama watoto wa Mungu, ni lazima waonyeshe upole kati yao, na wasijisumbue kurekebishana kwa nguvu zao wenyewe bila kuomba. Maombi ni njia bora ya kurejeshewa amani na Mungu awapendaye. Tena amani hiyo ndiyo iwahifadhiyo watoto wa Mungu wabaki salama. Ni mapenzi ya Mungu kwamba tumwombe ili kumwonyesha kuwa tunamwamini na kumpenda. Tukifanya hivyo wakati wote hatutapungukiwa na amani yake.

Andiko

siku 13siku 15

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku Juni/2022

Soma Biblia Kila Siku Juni/2022 ni mpango wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku kwa mwezi wa Juni pamoja na maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa kwa urahisi na kuendelea kutafakari neno la Mungu ulilosoma kwa siku husika. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Wafilipi na Mwanzo. Karibu kujiunga na mpango huu na usome bure

More

Tungependa kuwashukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabblia.or.tz/