SOMA BIBLIA KILA SIKU 01/20Mfano

Mafarisayo na waandishi walipaswa kuwasaidia watu namna ya kuzifahamu sheria za Mungu na kuzitendea kazi. Lakini wao walizifafanua kwa namna ambayo zilipoteza maana yake kamili. Sasa, Yesu anataka watu wajue kuwa dhambi siyo tu yale tunayoyaona kwa nje. Hata yale tunayokusudia ndani ya mioyo yetu, yale yaliyo kinyume na Mungu, hayo nayo ni dhambi. Pia Yesu anataka kwamba ikitokea kutoelewana au kukoseana, hata kama ni katika mambo ya kawaida, ni vema kupatana kidugu badala ya kukimbilia mahakamani ambako matokeo yanaweza kuwa mabaya zaidi.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 01/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo, Kutoka, Zaburi na Isaya. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Anza mwaka wa 2020 kwa kujifunza Neno la Mungu kupitia mpango huu.
More
Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021

Upendo Wa Bure

Soma Biblia Kila Siku Februari 2021

Soma Biblia Kila Siku Mei 2021

Roho Mtakatifu - Tuna Uwezo Wa Kuwaka Moto Au La?

Soma Biblia Kila Siku 11/2020

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo

Soma Biblia Kila Siku Januari 2021

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021
