SOMA BIBLIA KILA SIKU 01/20Mfano

Vitabu vitano vya kwanza vya Agano la Kale hujulikana kama vitabu vya Musa, au torati. Mafarisayo na waandishi walipaswa kusimamia sheria na taratibu za dini ili mapokeo ya Kiyahudi yafuatwe. Lakini Yesu alijua kuwa wanadamu wameshindwa kutimiza hayo kwa nguvu zao; akaleta ukombozi kwa njia ya neema. Hapo siyo kusema torati haina maana, ila ni kwamba Yesu ndiye mwenye kuitimiliza torati, na kwamba amekuja kutufanya washindi katika yeye. Ni lazima tutambue kwamba tusipokubali kukamilishwa katika Kristo, hatuwezi kuingia katika ufalme wa Mungu.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 01/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo, Kutoka, Zaburi na Isaya. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Anza mwaka wa 2020 kwa kujifunza Neno la Mungu kupitia mpango huu.
More
Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021

Upendo Wa Bure

Soma Biblia Kila Siku Februari 2021

Soma Biblia Kila Siku Mei 2021

Roho Mtakatifu - Tuna Uwezo Wa Kuwaka Moto Au La?

Soma Biblia Kila Siku 11/2020

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo

Soma Biblia Kila Siku Januari 2021

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021
