Soma Biblia Kila Siku 5Mfano

Nebukadreza alitegemea wenye hekima watamfumbulia siri ya ndoto yake. Basi, anapomwona Danieli anatazamia ndiye yeye atakayempa majibu na kumwondolea msongo mwitu uliokuwa unamsibu. Lakini sivyo alivyo Danieli. Zaidi yake, yupo Mungu ambaye ndiye “afunuaye siri” (m. 28a na 29b). Nyuma ya mtumishi yeyote kuna hekima ya Mungu (m.30). Danieli akipokea hekima hiyo, alifanya huduma si kwa ajili yake na wale walioshindwa kuitafsiri ndoto tu, bali alimshuhudia Mungu mbele ya wasiomjua Mungu.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 5 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.
More
Tungependa kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz/
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo

Soma Biblia Kila Siku 8

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Soma Biblia Kila Siku 9

Soma Biblia Kila Siku 11

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021

Soma Biblia Kila Siku 10

Uamuzi Mkubwa Zaidi wa Maisha Yako!
