Soma Biblia Kila Siku 5Mfano

Ishara hutokeza mshangao na hata kumsifu Mungu kwa jinsi alivyofanya Nebukadreza, lakini haileti kumwamini Mungu ambako huambatana na kumtii. Moja ya mambo magumu tunayopaswa kuyajifunza ni kukubali kuwa Mungu ni mtawala wa nyakati zote. Mwanadamu hana uwezo wa kufanya apendayo. Ndiye Mungu anayedhibiti na kupunguza uwezo wa wajitiao nguvu za mamlaka pasipo kibali chake. Je, ni kwa sababu gani, Nebukadreza alimwona Danieli kuwa na uwezo wa kuifasiri ndoto yake? Soma m.18 pia.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 5 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.
More
Tungependa kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz/
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo

Soma Biblia Kila Siku 8

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Soma Biblia Kila Siku 9

Soma Biblia Kila Siku 11

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021

Soma Biblia Kila Siku 10

Uamuzi Mkubwa Zaidi wa Maisha Yako!
