Soma Biblia Kila Siku 5Mfano

Kile kilichosemwa mbele ya mfalme katika somo lililopita kinatekelezwa hapa (m.33). Nebukadreza anaondolewa ufalme. Yote yaliyotafsiriwa katika ndoto yanatimia. Adhabu hiyo ni kama mafunzo na maonyo kwa Nebukadreza ili atambue na hata kuamini juu ya uwepo wa mamlaka izidiyo wafalme, yaani, mamlaka ya Mungu. Kwa hiyo adhabu ya Mfalme ilitekelezwa tu hadi hapo alipokiri juu ya mamlaka na uwezo wa Mungu wa Israeli (m.35-37). Somo litufundishe kuwa Mungu ni asili ya kila jambo. Hachezewi!
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 5 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.
More
Tungependa kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz/
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo

Soma Biblia Kila Siku 8

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Soma Biblia Kila Siku 9

Soma Biblia Kila Siku 11

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021

Soma Biblia Kila Siku 10

Uamuzi Mkubwa Zaidi wa Maisha Yako!
