Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ruthu 1:16-17

Ruthu 1:16-17 BHN

Lakini Ruthu akamjibu, “Usinisihi nikuache wewe, wala usinizuie kufuatana nawe. Kokote utakakokwenda ndiko nami nitakakokwenda, na ukaapo nitakaa, watu wako watakuwa watu wangu, na Mungu wako atakuwa Mungu wangu. Pale utakapofia hapo nitakufa nami, na papo hapo nitazikwa; Mwenyezi-Mungu anipe adhabu kali kama nikitenganishwa nawe isipokuwa tu kwa kifo.”

Soma Ruthu 1

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ruthu 1:16-17