Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ruthu 1:16-17

Ruthu 1:16-17 SRUV

Naye Ruthu akasema, Usinisihi nikuache, Nirudi nisifuatane nawe; Maana wewe uendako nitakwenda, Na wewe ukaapo nitakaa. Watu wako watakuwa watu wangu, Na Mungu wako atakuwa Mungu wangu; Pale utakapofia ndipo nitakufa nami, Na papo hapo nitazikwa; BWANA anitende vivyo hivyo na kuzidi, Ila kufa tu kutatutenga wewe nami.

Soma Ruthu 1

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ruthu 1:16-17