Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waroma 9:25-26

Waroma 9:25-26 BHN

Maana ndivyo asemavyo katika kitabu cha Hosea: “Wale waliokuwa ‘Si watu wangu’ nitawaita: ‘Watu wangu!’ Naye ‘Sikupendi’ ataitwa: ‘Mpenzi wangu!’ Na pale walipoambiwa: ‘Nyinyi si wangu’ hapo wataitwa: ‘Watoto wa Mungu aliye hai.’”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Waroma 9:25-26