Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Warumi 9:25-26

Warumi 9:25-26 NEN

Kama vile Mungu asemavyo katika Hosea: “Nitawaita ‘watu wangu’ wale ambao si watu wangu; nami nitamwita ‘mpenzi wangu’ yeye ambaye si mpenzi wangu,” tena, “Itakuwa hasa mahali pale walipoambiwa, ‘Ninyi si watu wangu,’ wao wataitwa ‘wana wa Mungu aliye hai.’ ”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Warumi 9:25-26