Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Warumi 9:25-26

Warumi 9:25-26 SRUV

Ni kama vile alivyosema katika Hosea, Nitawaita watu wangu wale wasiokuwa watu wangu, Na kumwita mpenzi wangu yeye asiyekuwa mpenzi wangu. Tena itakuwa mahali pale walipoambiwa, Ninyi si watu wangu, Hapo wataitwa wana wa Mungu aliye hai.

Soma Warumi 9

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Warumi 9:25-26