Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waroma 1:19-20

Waroma 1:19-20 BHN

Kwa maana, yote yanayoweza kujulikana juu ya Mungu ni wazi kwao; maana Mungu mwenyewe ameyadhihirisha. Tangu Mungu alipoumba ulimwengu, uwezo wake wa milele na uungu wake, ingawa havionekani kwa macho, vinafahamika wazi. Watu wanaweza kuyajua mambo hayo kutokana na vitu hivyo alivyoumba Mungu. Kwa hiyo hawana njia yoyote ya kujitetea!

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Waroma 1:19-20