Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Warumi 1:19-20

Warumi 1:19-20 NEN

kwa maana yote yanayoweza kujulikana kumhusu Mungu ni dhahiri kwao, kwa sababu Mungu mwenyewe ameyadhihirisha kwao. Kwa maana tangu kuumbwa kwa ulimwengu, asili ya Mungu asiyeonekana kwa macho, yaani, uweza wake wa milele na asili yake ya Uungu, imeonekana waziwazi, ikitambuliwa kutokana na yale aliyoyafanya ili wanadamu wasiwe na udhuru.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Warumi 1:19-20