Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 84:11-12

Zaburi 84:11-12 BHN

Mwenyezi-Mungu ni jua letu na ngao yetu; yeye hutuneemesha na kutujalia fahari. Hawanyimi chochote kilicho chema, wale waishio kwa unyofu. Ee Mwenyezi-Mungu wa majeshi, heri mtu yule anayekutumainia wewe!

Soma Zaburi 84

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 84:11-12

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha