Zaburi 84:11-12
Zaburi 84:11-12 NEN
Kwa kuwa BWANA ni jua na ngao, BWANA hutoa wema na heshima; hakuna kitu chema anachowanyima wale ambao hawana hatia. Ee BWANA Mwenye Nguvu Zote, heri ni mtu yule anayekutumaini wewe.
Kwa kuwa BWANA ni jua na ngao, BWANA hutoa wema na heshima; hakuna kitu chema anachowanyima wale ambao hawana hatia. Ee BWANA Mwenye Nguvu Zote, heri ni mtu yule anayekutumaini wewe.