Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 17:1-5

Zaburi 17:1-5 BHN

Ee Mwenyezi-Mungu usikie kisa changu cha haki, usikilize kilio changu, uitegee sikio sala yangu isiyo na hila. Haki yangu na ije kutoka kwako, kwani wewe wajua jambo lililo la haki. Wewe wajua kabisa moyo wangu; umenijia usiku, kunichunguza, umenitia katika jaribio; hukuona uovu ndani yangu, sikutamka kitu kisichofaa. Kuhusu matendo watendayo watu; mimi nimeitii amri yako, nimeepa njia ya wadhalimu. Nimefuata daima njia yako; wala sijateleza kamwe.

Soma Zaburi 17

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 17:1-5