Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 131:1-2

Zaburi 131:1-2 BHN

Ee Mwenyezi-Mungu, sina moyo wa kiburi; mimi si mtu wa majivuno. Sijishughulishi na mambo makuu, au yaliyo ya ajabu mno kwangu. Ila nafsi yangu imetulia na kuwa na amani, kama mtoto mchanga alivyotulia na mama yake; ndivyo nafsi yangu ilivyo tulivu.

Soma Zaburi 131

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 131:1-2