Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 3:16-17

Mathayo 3:16-17 BHN

Mara tu Yesu alipokwisha batizwa, alitoka majini; na kumbe mbingu zikafunguka, akaona Roho wa Mungu akishuka kama njiwa na kutua juu yake. Sauti kutoka mbinguni ikasema, “Huyu ndiye Mwanangu mpendwa, nimependezwa naye.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 3:16-17