Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 3:16-17

Mathayo 3:16-17 SRUV

Naye Yesu alipokwisha kubatizwa mara aliibuka kutoka majini na tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua, na kutua juu yake; na tazama, sauti kutoka mbinguni ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.

Soma Mathayo 3

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 3:16-17