Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 13:44-46

Mathayo 13:44-46 BHN

“Ufalme wa mbinguni unafanana na hazina iliyofichika shambani. Mtu mmoja aliigundua, akaificha tena. Alifurahi sana hata akaenda kuuza yote aliyokuwa nayo, akalinunua shamba lile. “Tena, ufalme wa mbinguni unafanana na mfanyabiashara mmoja mwenye kutafuta lulu nzuri. Alipopata lulu moja ya thamani kubwa, alikwenda, akauza yote aliyokuwa nayo, akainunua lulu ile.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 13:44-46