Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 13:44-46

Mathayo 13:44-46 NEN

“Ufalme wa Mbinguni unafanana na hazina iliyofichwa shambani, ambayo mtu mmoja alipoiona akaificha tena. Kisha katika furaha yake, akaenda akauza vyote alivyokuwa navyo, akalinunua lile shamba.” “Tena, Ufalme wa Mbinguni unafanana na mfanyabiashara aliyekuwa akitafuta lulu safi. Alipoipata lulu moja ya thamani kubwa, alikwenda akauza vyote alivyokuwa navyo akainunua.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 13:44-46