Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 14:18-19

Mwanzo 14:18-19 BHN

Naye Melkisedeki, mfalme wa mji wa Salemu, ambaye alikuwa kuhani wa Mungu Mkuu, akaleta mkate na divai, akambariki Abramu akisema, “Abramu na abarikiwe na Mungu Mkuu, Muumba mbingu na dunia!

Soma Mwanzo 14

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mwanzo 14:18-19