Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kutoka 15:23-25

Kutoka 15:23-25 BHN

Walipofika mahali panapoitwa Mara, hawakuweza kuyanywa maji ya Mara kwa sababu yalikuwa machungu. Kwa sababu hiyo mahali hapo pakaitwa Mara. Basi, watu wote wakamlalamikia Mose wakisema, “Sasa tutakunywa nini?” Hapo Mose akamlilia Mwenyezi-Mungu, naye akamwonesha kipande cha mti, na Mose akakitumbukiza katika maji; maji hayo yakawa mazuri. Huko Mungu aliwapa Waisraeli amri na agizo, ili ajue uthabiti wao

Soma Kutoka 15

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Kutoka 15:23-25

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha