Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kutoka 15:23-25

Kutoka 15:23-25 NEN

Walipofika Mara, hawakuweza kunywa maji yake kwa sababu yalikuwa machungu. (Ndiyo sababu mahali hapo panaitwa Mara) Kwa hiyo watu wakamnungʼunikia Mose, wakisema, “Tunywe nini?” Ndipo Mose akamlilia BWANA, naye BWANA akamwonyesha kipande cha mti. Akakitupa ndani ya maji, nayo maji yakawa matamu. Huko BWANA akawapa amri na sheria na huko akawajaribu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Kutoka 15:23-25

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha