Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kutoka 15:23-25

Kutoka 15:23-25 SRUV

Walipofika mahali palipoitwa Mara hawakupata kuyanywa yale maji ya Mara, kwa kuwa yalikuwa machungu; kwa ajili ya hayo jina lake likaitwa Mara Ndipo watu wakamnung'unikia Musa, wakisema, Tunywe nini? Naye akamlilia BWANA; BWANA akamwonesha mti, naye akautia katika hayo maji, maji yakawa matamu. Basi akawawekea amri na hukumu huko, akawajaribu huko

Soma Kutoka 15

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Kutoka 15:23-25

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha