Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Timotheo 4:7-8

2 Timotheo 4:7-8 BHN

Nimefanya bidii katika mashindano, nimemaliza safari yote na imani nimeitunza. Na sasa imebakia tu kupewa tuzo la ushindi kwa maisha ya uadilifu, tuzo ambalo Bwana, Hakimu wa haki, atanipa mimi siku ile, na wala si mimi tu, ila na wale wote wanaotazamia kwa upendo kutokea kwake.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 2 Timotheo 4:7-8