Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wafalme 7:13-14

1 Wafalme 7:13-14 BHN

Kisha mfalme Solomoni alimwita Hiramu kutoka Tiro. Huyo, alikuwa mwana wa mjane wa kabila la Naftali, na baba yake alikuwa mkazi wa Tiro, mfua shaba. Hiramu alikuwa na hekima nyingi na akili, na fundi stadi wa kazi yoyote ya shaba. Basi, alikuja kwa mfalme Solomoni, akamfanyia kazi yake yote.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Wafalme 7:13-14