Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 10:35-37

Marko 10:35-37 SRUV

Na Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, wakamwendea, wakamwambia, Mwalimu, twataka utufanyie lolote tutakalokuomba. Akawaambia, Mwataka niwafanyie nini? Wakamwambia, Utujalie sisi tuketi, mmoja mkono wako wa kulia, na mmoja mkono wako wa kushoto, katika utukufu wako.

Soma Marko 10

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Marko 10:35-37