Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 10:35-37

Marko 10:35-37 NEN

Kisha Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, wakaja kwake na kumwambia, “Mwalimu, tunataka utufanyie lolote tutakalokuomba.” Naye akawaambia, “Je, mwataka niwafanyie jambo gani?” Wakamwambia, “Tupe kukaa mmoja upande wako wa kuume na mwingine upande wako wa kushoto katika utukufu wako.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Marko 10:35-37