Isaya 33:5-6
Isaya 33:5-6 SRUV
BWANA ametukuka; kwa maana anakaa juu; amejaza Sayuni hukumu na haki. Nyakati zako zitakuwa nyakati za kukaa imara; za wokovu tele na hekima na maarifa; kumcha BWANA ni hazina yake ya akiba.
BWANA ametukuka; kwa maana anakaa juu; amejaza Sayuni hukumu na haki. Nyakati zako zitakuwa nyakati za kukaa imara; za wokovu tele na hekima na maarifa; kumcha BWANA ni hazina yake ya akiba.