Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Isaya 33:5-6

Isaya 33:5-6 BHN

Mwenyezi-Mungu ametukuka, yeye anaishi juu mbinguni. Ameujaza Siyoni haki na uadilifu. Enyi watu wa Yerusalemu, Mwenyezi-Mungu atawajalieni usalama, atawaokoa na kuwapa hekima na maarifa. Hazina yenu kuu ni kumcha Mwenyezi-Mungu.

Soma Isaya 33