Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 16:27-28

Matendo 16:27-28 SRUV

Yule mlinzi wa gereza akaamka, naye alipoona ya kuwa milango ya gereza imefunguka, alifuta upanga, akataka kujiua, akidhani ya kuwa wafungwa wamekimbia. Ila Paulo akapaza sauti yake kwa nguvu, akisema, Usijidhuru, kwa maana sisi sote tuko hapa.

Soma Matendo 16

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Matendo 16:27-28