Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 16:27-28

Matendo 16:27-28 NEN

Yule mkuu wa gereza alipoamka na kuona milango ya gereza iko wazi, akachomoa upanga wake akataka kujiua, akidhani ya kuwa wafungwa wote wametoroka. Lakini Paulo akapiga kelele kwa sauti kubwa, akasema, “Usijidhuru kwa maana sisi sote tuko hapa!”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Matendo 16:27-28