Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zab 33:20-22

Zab 33:20-22 SUV

Nafsi zetu zinamngoja BWANA; Yeye ndiye msaada wetu na ngao yetu. Maana mioyo yetu itamfurahia, Kwa kuwa tumelitumainia jina lake takatifu. Ee BWANA, fadhili zako zikae nasi, Kama vile tulivyokungoja Wewe.

Soma Zab 33

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zab 33:20-22