Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 33:20-22

Zaburi 33:20-22 NEN

Sisi tunamngojea BWANA kwa matumaini, yeye ni msaada wetu na ngao yetu. Mioyo yetu humshangilia, kwa maana tunalitumainia jina lake takatifu. Upendo wako usio na mwisho ukae juu yetu, Ee BWANA, tunapoliweka tumaini letu kwako.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 33:20-22