Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 33:20-22

Zaburi 33:20-22 BHN

Mioyo yetu yamtumainia Mwenyezi-Mungu. Yeye ni msaada wetu na ngao yetu. Naam twafurahi kwa sababu yake; tuna matumaini katika jina lake takatifu. Fadhili zako zikae nasi, ee Mwenyezi-Mungu, kwani sisi tumekuwekea tumaini letu.

Soma Zaburi 33

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 33:20-22