Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 16:7-9

Zaburi 16:7-9 NEN

Nitamsifu BWANA ambaye hunishauri, hata wakati wa usiku moyo wangu hunifundisha. Nimemweka BWANA mbele yangu daima. Kwa sababu yuko mkono wangu wa kuume, sitatikisika. Kwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia; mwili wangu nao utapumzika salama

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 16:7-9